Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Mei, 2022

SOMO;DALILI ZA MIZIMU

DALILI HIZI ZINAKUJULISHA UNATESEKA NA ROHO ZA UKOO YAANI MIZIMU YA KWENU. ___________________^^^^^^^^^^^^^____^^^______ 1;Kila Utakachofanya Kinakufa Uaze Biashara itakufa mahusiano Yanakufa nk. 2:Unakuwa natatizo ambalo ndugu yako analo au shangazi au mjomba mfano; Dada yako Amezalia nyumbani nawe utazalia nyumbani kaka yako Anamaisha  ya yasiyoeleweka nawewe unakuwa hivyo. 3;Unaishi maisha ya kufata historia Ya Ukoo wako au Familia  mfano Baba yako amekufa na kisukari nawewe kisukari kinakufata. 4;Utakuwa unaota watu waliokufa eiza inaongea nao au kula nao. 5:Unakuwa mtu wakuota upo kijijini kwenu au shule za msingi  6:Utakuwa unaota Ng,ombe, Unakuwa Unaota Wazungu, Wamasai unaota upo porini nk 7;Mnakuwa na mtiririko unaofanana kimaisha. Roho za mizimu huwa zinakaa zikidai uhalali wa ukoo na Kujiondoa Unatakiwa Ufate hatua kama nilivyoelekeza Soma kwa umakini usiruke hata step moja ni hatari kwa mtu Ambaye zinamtesa KAMA BADO UNATESWA NA MIZIMU AU UNAJIONA VIASHIRIA HI...

MAOMBI YA KUOMBA ASUBUHI UKIAMKA

MAOMBI YA KUOMBA ASUBUHI UKIAMKA Tembea na Bwana Katika Uaminifu  ••••°°°°°°••••••°°°°°•••••••°°••••••°°°°°••• 1:Nashukuru Baba umeachila Ulizi Kwangu Usiku Kucha Endelea Kunilinda Mchana Kutwa Katika Jina la Yesu. AMEN×3 2:Naibariki Siku Yangu Kwa Jina la Baba na La Mwana Na La Roho Mtakatifu Katika Jina la Yesu. AMEEN ×1 3:Nimebarikiwa mimi na familia yangu Yote Katika Jina la Yesu.AMEEN.×1 4:Bwana ni Nuru Yangu Kila Mipango iliyokuwa imefunga itamulikwa katika jina la Yesu. Amen×4 5;Natubu  Kila dhambi niliyokutenda nikaifanya kwa kujua hasa ya Wizi wa Zaka Kanisani Niondolee Dhambi hii maana imenitenga na Baraka Zako Katika Jina la Yesu. AMEN×5(OMBA KWA UNYENYEKEVU WA KUUGULIA MOYONI JUTIA DHAMBI YA WIZI WA ZAKA AU YA KUZINI)  . 6;Natamani Nishuhudie Ukinitendea Kama Wegine nipe moyo wa kuliishi Neno lako na sheria zako Nisizini tena Nisile zaka tena nisiwe mtu wa kutembea nawewe kwa mazoea ili unitendee kitu au kukutafuta nikiwa nashida tu ukishanijibu nakuacha au ku...

SOMO;Hizi Sifa Za Mwanamke Mwema

SOMO:HIZI NDIYO SIFA ZA MWANAMKE MWENA NA MWENYE HOFU YA MUNGU  Mwanzo;2;23-25 Mithali;14;1-5 Mithali;30;10 Ninaitwa Pastor Richard NINAKUKARIBISHA KATIKA ELIMU HII NA MASOMO YA WANANDOA NA MAHUSIANO  NATAKA NIONGELEE SIFA ZA MWANAMKE ANAEFAA KUOLEWA NA WAKUISHI NAE KATIKA MAISHA ATAKAEFANYA MAISHA YAKO YA FANIKIWE HII NI KWA VIJANA AMBAO HAWAJAOA  KARIBUNI  FB; TAFUTA KANISA LA MOTO WA YESU UJIUGE Kusamehe Ni vigumu kuwa katika uhusiano halafu uwe hauna moyo wa kumsamehe mpenzi wako. Kawaida katika mahusiano, huwa kuna changamoto kadhaa ambazo hujitokeza hivyo lazima uwe na tabia ya kuweza kusamehe. Hii inaweza kuanzia kukosana kwa mambo ya kinyumbani, ama mambo mengine yanayofanana. Mwanamke mzuri ni yule ambaye ana uwezo wa kumsamehe mpenzi wake bila kuweka kinyongo. Iwapo mpenzi wako umemshika katika fumanizi nk na bado unampenda, basi jambo zuri la kufanya ni kumsamehe na kuendelea na maisha. Msikilizaji mzuri Mara nyingi migogoro ambayo inatokea majumbani kati ...