Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Desemba, 2021

SOMO:FOMULA YA KUPATA MKE/MME WA KWA MUNGU

SOMO: JINSI YA KUPATA UBAVU WAKO. Naitwa Pastor Richard Mwalimu wa Wanandoa Karibuni Tuponyane Kwenye Kipengele hiki Jifunze Somo Hili Unaetaka Kupata mke/mme mfikie ndoa. Kila kitu huwa kinafomula Hakuna Jambo unaloweza kulisimamimisha  bila kuliwekea Fomula Ndoa ya Kutoka kwa MUNGU inafomula Ni tofsuti na MKE/mme unayempata kwa Akili Zako. MAMBO HAYA YAFANYE UKIWA KWENYE UTAFUTAJI WA MKE/MME 1:ANZA KWA KUMPENDE MUNGU KWA AKILI ZAKO ZOTE NA MOYO WAKO WOTE. Mathayo 22:37 [37]Akamwambia, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote. UKIMPENDA MUNGU MAMBO HAYA YATAJIDHIHIRISHA 1;Utampata mtu Sahihi kwa muda Sahihi 2;Utampata mtu mwenye Sifa unazotaka 3;Hatua Zenu kwenye mahusiano hazitaishia Njiani 4;Utakuwa Ushuhuda kwa Wegine   2:USIZINI NA MTU AMBAYE  HAJAKUTOLEA MAHALI WALA KUJIRAHISISHA BINT UNATAKIWA UKIMBIE DHAMBI YA UZINIFU. Mathayo 5:27 [27]Mmesikia kwamba imenenwa, Usizini; πŸ‘‰πŸΏπŸ™ MAANA UKIZINI NA MTU A...

SOMO;THAMANI YA KIJANA NDANI YA KANISA.

Picha
SOMO: KIJANA THAMANI YAKE AKIOKOKA NDANI YA KANISA HATA KATIKA JAMII. Karibu Tunaongelea Leo Thamani Ya Kijana mkristo Nafasi Yake kibiblia na mbele za Mungu. Kijana huandamwa na Tamaa mbalimbali na Changamoto za utafutaji Zinazomfanya Aishi mbali na Mungu Kutokana na Kuwa na muda mchache wa Kupumzika Mungu anatambua Kijana husumbuliwa na Tamaa za Pesa Mali Ujana Ukisoma 2Timotheo:2:22 Karibu Katika Darasa Hili Naitwa Bishop Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa MAMBO SABA YA MSINGI YA KUKUSAIDIA KUTAMBUA THAMANI NA NAFASI YAKO KAMA KIJANA MKRISTO 1.  Ni vizuri ufahamu kwamba KABLA HAUJAZALIWA Mungu alishakujua na aliweka tayari KUSUDI,  NYAKATI, na UWEZO ndani yako maalum kwa ajili ya KANISA.{Yeremia 1:5; Zaburi 139:13,15,16;} Kijana unatakiwa ujue Kusundi ambalo Mungu amekuitia Kama Ni kuimba imba Kama Ni uchungaji uinjilist Tumika Kwa Kujitoa Kweli Kweli Usiishi maisha ya Kikristo bila kujua Kusundi lako 2. Tambua kuwa hakuna Rika lililopewa upendeleo na nafasi ya pekee kama UJ...

SOMO;- MALAIKA NA MAJINA YAO 2

Picha
SOMO; MALAIKA  Malaika hujisikia vizuri wakati wamezungukwa na mawazo ya amani na upendo, na sio katika mazingira ya kukasirika na uchokozi.  Wanasema kuwa ili "kuwasiliana" na Malaika wako hauitaji hali maalum ... Isipokuwa kwa ukimya na upweke.  Zima redio na TV, nenda kwenye chumba cha kibinafsi au kwenye kona yako ya asili upendayo; fikiria malaika (hii inasaidiwa na picha ya malaika wako mpendwa, aliyewekwa karibu na) na uwasiliane nao. Waambie tu malaika kuhusu shida zako. Ongea kana kwamba unashiriki na rafiki yako bora. Kisha sikiliza. Nyamaza na subiri kuwasili kwa mawazo ambayo malaika watakutumia. Na hivi karibuni uhusiano wako na malaika utageuka kuwa ond zaidi; watakusaidia kujisikia mzuri zaidi. Hali nzuri itakuleta karibu na malaika. Malaika Wakuu Malaika wa ulinzi - Malaika Mkuu Michael Rangi ya bluu Malaika wa kujaa - Malaika Mkuu Jophiel Rangi ya njano Malaika wa upendo - Malaika Mkuu Chamuel Rangi ya pink Malaika wa mwong...

SOMO;URAFIKI, UCHUMBA

SOMO: URAFIKI/UCHUMBA URAFIKI/UCHUMBA NA NDOA NJIA KUMI ZA KIBIBLIA ZA KUMPATA MWENZI WA MAISHA. Mpenzi msomaji hizi ni dondoo tu zilizomo ndani ya Somo hili, nimeona ni vema walau kwa sehemu nikueleze yaliyomo ndani. Mithali 19:14 “Nyumba na mali ni urithi apatao mtu kutoka kwa babaye bali mke mwenye busara mtu hupewa na Bwana’.Nianze kwa kusema kuoa au kuolewa ni mpango kamili wa Mungu. Zipo sababu nyingi za kwa nini unahitaji mke au mume tuanze na:- 1. Unakuwa umejipatia kibali kwa Bwana, 2. Kwa sababu zinaa (1 Wakorintho 7:20), 3. Unapopata mke unakuwa umepata msaidizi na mlinzi. Kibiblia mke /mme mwenye busara mtu hupata kutoka kwa Bwana, maana yake Mungu ndiye anayehusika na kumpa mtu mke/mme. Mungu pekee ndiye anayejua nani ana busara ya kukaa na fulani halafu ndiyo anayekupa huyo mtu. Suala la kumpata mwenzi ambaye hakika ni wa mapenzi ya Mungu kwa mtu husika, imekuwa ni changamoto kubwa hasa kwa vijana na pia wale ambao bado hawajaoa au kuolewa. Lengo la kitabu hiki...