Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Februari, 2018

Maombi mbalimbali

🌳🌳 *MAOMBI  MBALI MBALI*🌳🌳 *1:Maombi yakufuguliwa* 2:coritho 10:3-6 Mambo ya kuzingatia uingiapo maombi haya a. TOBA YA KWELI b, Kumkiri Kristo (Uokoke uachane na Yale ya kale na Uwe mfatiliaji wa Mafundisho na injili kuihubiri kwa wengi 3:Imani Uwe na Imani Baada ya  Kujichunguza ukajiona upo nayo hii rahisi kufughuliwa Anza na  maombi haya kuombea kufuguka kwa matatizo yako 1:Agalia Tatizo linalokutesa huwa linaanzia wapi 2:Jiulize kwanini huwa hivyo 3:majibu unayopata Sasa ANZA kuomba kwa kufuga mlango unaoingiza Tatizo Maombi Yake Baba Ansate Katika jina la Yesu  Ninaomba nisamehe Baba nimekukosea sana ndio maana maisha yangu yamevurugika mimi mwanao___Natubu najuta naahidi sitakuacha tena nakataa hali___YA mimi(Taja Hali iliyokufuga au iliyomfunga unayemuombea)  nafugulia Afya nakufuga hali ya___sitaki niishi maisha hayo katika jina la Yesu Mnazareth Amen Hakikisha unalikataa Tatizo na Roho zote zilizoshika wew...

PEPO ANAVYOMUINGIA ALIYEOKOKA

🌳🌳 *CHAKULA CHA SAFARI 2018*🌳🌳 tar _9/1/2018_ *PR : PASTOR  RICHARD* _JE MTU ALIYEOKOKA ANAWEZA AKAWA NA PEPO_ *Mathayo. 15:26* *LUKA 13:16* Jibu ni ndio shetani na Mungu wanauwezo wakukaa Pamoja Na Kila mmoja akaanza kumtumikisha Mtu mmoja. Utaona kwa Mwanamke aliyeteseka miaka 18 Alikuwa kanisani anaenda anafunga wakati huo huo shetani anamtesa kwa maradhi na Mungu anamtumia kumtumikia Utaona kwa mfalme sauli  kwa mfalme Daudi mpaka akaingiwa na shetani Akazini na Mke WA MTU PIA AKASHAWISHIKA KWA YUDA napo Utaona alivyomsalit Yesu Utaona Kwa Ayubu Ukisoma Biblia utawaona hao Watumishi walisimama Na Mungu Na shetani aliwaingia na kumtumikisha 🌳🌳 *HATUA ZA MTU  ALIYEOKOKA* 🌳🌳 1: _ANATAKIWA AFUNDISHWE NENO LA MUNGU ANAPOOKOKA_ 2: _ANATAKIWA AJIFUNZE KATIKA ROHO MTAKATIFU_ 3 _:ASIMFATE MUNGU  KATIKA  MWILI ATAANGUKA  KIROHO_ 1samweli.16:14-15 Ayubu 2:7 Ezekieli. 8:17 &#1...

KIKOSI CHA MAJINI BAADHI NA YANAVYOFANYA KAZI KUSHAMBULIA WATOTO WA MUNGU

✔✔ *KIKOSI CHA MAJESHI  YA MAJINI YANAYO HARIBU WATU* *WAKUU  WA  ANGA* 1: *Akibaru* = Jini huyu ni mkuu wa anga Africa Zima 2: *Alshamiri*=Mkuu wa Anga dunia nzima 3: *Zibanirati* =Jini anasababisha Ajali duniani 4: *Twalingu*=Jini huyu husababisha Ajali Tanzania 5: *Murafali* =Huyu Jini huzui mafanikio ukiona umeshindwa kitu Tandika huyu 6: *Ratifu=* huyu huwa Jini Anayeshughulikia na upotevu wa pesa tu ukiona pesa huoni zinaenda wapi shughulikia huyu 7: *Johari* =Huyu anashughulikia chuma ulete ukiona Kazini Kuna chuma ulete Anza kumshughulikia huyu tu Pia YUPO na mwezake Asinari huwa wanawaharibu watu wanakuwa walevi wavuta mbangi nk Ulevi wote au kukupa matumizi mabaya ya pesa unajikuta huna ufanyalo 8: *Subiani* =Huyu hushika Matatizo ya kinamama Mfano Tumbo kuuma chini ya kitovu Uvimbe na magonjwa ya Ajabu Ajabu ya wanawake hasa waliookoka au wenye kusimama Na Mungu ukiona hali yoyote tandika kwa maombi tu 9: *Sumiri*=Huyu hushughulikia ku...