Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Oktoba, 2018

USHUHUDA WA BINT ALIYEPONYWA H.I.V Baada ya Kufika kanisani kwa Pastor Richard

Picha
🔥🔥🔥MOTO🔥wa🔥YESU🔥🔥USHUHUDA WA BINT ALIYEKUWA NA H.I.V ALIYEFIKA Mwenzi wa Tatu kanisani kwa Pastor Richard MOROGORO Veta Dakawa akafunguliwa Neno Zaburi:103:1-5 Akusamehe uovu wako arudishe afya yako...akuponye maumivu yako akuepushe na kaburi...arejeshe ujana wako na sura yako ngozi yako ikanawili kama KIJANA na sio kama MTU uliyezidiwa na maradhi. Tusome Zaburi 🔥🔥🔥Huu ni 🔥Moto🔥wa🔥Yesu vile vimelea na Mapepo ya virusi yanaujua Moto wa Yesu Karibu Umsikilize Bint huyu alivyoponywa katika picha ni mhusika Anayekushuhudia ujue Mungu wetu si wa kulinganishwa 🔥🔥Habari Pastor Richard Mimi ninaitwa Radhia nipo Marangu MOSHI ninamiaka 36 Nimeteseka na H.I.V Miaka 18 Nimehangaika sana nikaenda huku na kule kutafuta UPONYAJI mpaka nilienda  nigeria south Africa Kenya Bila mafanikio niliona H.I.v Haiponi Tena maana...